HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 5, 2009

Pinizz Likivyokomaa Siku Ya leo

hapa ni Namanga kuelekea Morocco
hapa ni sivyuu kuelekea salenda bliji,ilikuwa ni fulu mvurugano katika barabara hiyoo
hapa ndio ilikuwa soo maana hizi ngoma zilijifinga funga ile mbaya,hata sijui kulikuwa na nini siku ya leo??mpaka alipotia timu mzee wa feva (hapo pembeni) ndio mambo yalianza kukaa sawa na nginga kuendelea kusonga kama kawa.hapa ni posta mpya jioni ya leo

2 comments:

  1. kwanini madereva wabongo kila mtu ni mbishi anataka afike haraka ndio kinasababisha kufungana ukiacha foleni la kawaida ubishi wala sio solution ya kufika haraka.wangekuja huku wangeona watu walivyokua fea kwenye barabara ukiwa na haraka wanakuacha na haraka zako hawana ubishi kila mtu anajiona anagari anataka aonyeshe kilakitu hivi tutajifunza lini utii barabarani.

    ReplyDelete
  2. mimi nadhani tungetengeneza barabara za juu .kwenye makutno unaweka kama daraja ambalo lipo x litasaidia.kila kwenye makutano ndio itasaidia

    ReplyDelete

Post Bottom Ad