HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, September 27, 2009

Kiota Kipya Chafunguliwa Pande Za Kurasini,Kinakwenda Kwa Kwa Jina La Club Masai Annex

kaunta
bango lake kwa nje
sehemu ya kuyarudia magoma
sehemu ya kuvutia fegi
muonekano wa kiota chenyewe kwa nje
mambo mambo yetu yapo ya kumwaga,ushindwe wewe tuu
wadau wakiwa ndani ya kiota cha Club Masai Annex


kiota hiki kipya kabisa kimefunguliwa rasmi siku ya eid mossi,kipo pande za Kurasini mbele kidogo ya kituo cha daladala cha JKT Mgulani,kuna barabara ya vumbi inakatisha mkono wa kushoto kuelekea katika kota za Bandari zilizopo maeneo ya kurasini.

kiota hiki kinagonga burudani mbalimbali kila siku na ratiba yake iko kama ifuatavyo:-

jumatatu na jumanne
kiingilio ni tsh 4,000/=,utapata bia mbili bure ndani.

jumatano
kiingilio ni tsh 3,000/= kwa kina baba na kina mama itakuwa tsh 2,000/=

alhamisi
kiingilio ni tsh 3,000/= kwa kina baba na kina dada ni bure kama kawa

ijumaa na jumamosi
kiingilio ni tsh 4,000/= hii ni kwa wootee

jumapili
kiingilio ni tsh 3,000/= kwa woote,
siku hii huwa kunapigwa magoma ya vijana wa zamani.

magoma yoote hayo yataletwa kwenu na madj wakali,
amboni Dj Muthah na Dj BK40

nyoote mnakaribishwa katika kiota hicho kipya kabisa ambacho kinatoa burudani nzuri na zenye raha zote.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad