HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 7, 2009

Jengo La Diamond Jubilee Building Lapigwa Sop Sop

Jengo la Diamond Jubilee Building maarufu kama Azam teki awei lililopo katika makutano ya mtaa wa Jamhuri na Makunganya street,limeigwa msasa wa maana na kupigwa sop sop kimtindo ili kwenda sawa na majengo mapya yanayoendelea kujengwa kwa spidi ya ajabu hapa mjini.
hawa ni baadhi ya mafungi wanaolipiga sop sop jengo hilo.

1 comment:

Post Bottom Ad