HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 25, 2009

Enzi Za Mwalimu Nyerere

kutokana na kuelekea katika siku ya kumbukumbu ya kufariki kwa Mwalimu Nyerere,basi nikaona si vibaya kushea na nanyi wadau kumkumbuka aliekuwa Baba wa Taifa letu hili Hayati Mwalimu J.K. Nyerere enzi za uhai wake,picha ni siku alipomtembelea Mama yake mzazi huko Butiama akiongozana na mkewe Mama Maria Nyerere

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad