HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 18, 2009

Bito Mpya Hiyooo

gari mpya kabisa aina ya Volkswagen L1 iliyozinduliwa hivi karibuni,hapa ni inavyoonekana kwa mbele na ubavuni.
inavyoonekana kwa ubavuni.
kwa ubavuni na nyuma. cheki kinavyoonekana kwa ndani,halafu stelingi yake iko katikati kama bajaj vile.
hapa inavyoonekana kwa nyuma na jinsi mlango wake unavyo funguka.hii ndoma inakula mtu mbili tuu,na inatembea kilometa mia kwa lita moja.sasa sijui huku kwetu hii ndinga inafaa na hizi njia zetu za lami??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad