Lena ameongeza kwamba ili kucheza bahati nasibu hiyo utatakiwa kununua tiketi kwa shilingi 1000 au kucheza kupitia simu ya mkononi kwa mitandao yote ukituma neno SHINDA kwenda namba 15567 kwa shilingi 1000 na kujipatia nafasi zaidi ya kushinda zawadi hiyo ya Gari,wenginewaliopo katika picha ni Foti Gwebe Nyirenda Mshauri wa Mauzo CMCMotors na katikati ni Miss East Africa namba mbili mwaka 2008 Annete John
Monday, August 10, 2009

Home
Unlabelled
Mshindi Wa Bahati Nasibu Ya Miss East Afrika Kulamba Vogue
Mshindi Wa Bahati Nasibu Ya Miss East Afrika Kulamba Vogue
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment