HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 20, 2009

Mpigie Kura Teddy Kalonga

Hello!
mdau, Ninaitwa Teddy Kalonga, ni Mtanzania na Mwafrika mwenzenu, ni muda kidogo toka nifanye casting hii inayomsaka mtangazaji wa SPIKE TV, ambapo hivi punde nimetokea kuwa mmoja wa washiriki wa shindano hilo ambao walioingizwa kwenye mpambano. Hivyo basi, tunatakiwa kumpigiwa kura dada yetu Teddy ili aweze kuchaguliwa kama msemaji wa kike na mtangazaji wa SPIKE TV.Kwa kukamilisha hili nahitaji kura yako mdau! Ingia hapa kwa kupiga kura Go to SPIKE.COM

and

VOTE for Teddy Kalonga

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad