hivi ni kwanini kilima hiki na mahala hapa pamekuwa ni maarufu sana kuliko sehemu yeyote hapa jijini??
hicho kilima sheikh wangu umaarufu wake si kwa watu wa dar tu hata wale wa mikoani pia wanakisikia...ila sheikh wangu ukipita speed hapo umepakiwa kwenye gari kama Mercedes Benz utafurahia ryd ha ha ha ha
ReplyDelete