
usiku wa leo tulipata bahati ya kula daku na mdau Baraka Chibiriti (mwenye t-shirt ya kijivu) wa kule nchini Italia ambaye yupo hapa Bongo kwa vekekesheni fupi,hapa ni katika kiota cha Break Point,Kijitonyama.wengine toka shoto ni mdau Bonny,mie na Mdau Ndekia wa TBC1.
Daku inaonekana ilikuwa safi sana.
ReplyDelete