HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 25, 2008

Nani Kasema Dereva Wa Guta Haulambi?

dereva wa guta akiwa kaulamba full suti ndani ya chombo chake cha kazi huku akiwa amepakia mizigo pamoja na abiria,halafu inaelekea hiyo guta itakuwa na kiyoyozi maana ni mchana wa jua kali huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad