Hey wewe mnyambala vipi inakuwaje sasa? nasikia kaka yako kapoteza fulanaz yake? Unajua kuna machinga mmoja kapita mtaani kwangu kaniuuzia hiyo fulanaz sasa sijui kama ndo ya kaka yako au zinafanana tu. lakini usijali ngoja na mimi nitese nayo kwanza.
uwe na wakati mzuri.
No comments:
Post a Comment