.JPG)
Rais Jakaya Kikwete akizindua rasmi Ujenzi wa jengo la ghorofa sita eneo la Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam,ambalo limengwa maalum kabisa kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo wa jijini Dar es salaam wanaofahamika zaidi kwa jina la Wamachinga.

Mwonekano wa Jengo la Ghorofa sita linalojengwa Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam Maalum kabisa kwa wafanyabiashara ndogondogo Maarufu kama Machinga..Picha na Mdau
Athuman Hamisi/TSN
No comments:
Post a Comment