HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, July 27, 2008

Leo Kazi Ipo


kikosi cha wana wa jangwani (juu)na chini kikosi cha wekundu wa msimbazi

bado dakika chache tu ili mpira uanze na hadi hivi sasa ni timu moja tu ndio iliyoingia uwanjani yaani  nikimaanisha ni simba ndio ambao wako uwanjani hadi hivi sasa,lakini vijana wa jangwani hawajaingia hadi hivi sasa,sijui ndio watakuwa wameingia mitini? 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad