HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 11, 2008

Nani Kasema Shughuli Hii Ni Ya Kina Mama Pekee??

aliyesema shughuli hizi ni kwa kina mama tu,huyo atakuwa amekosea kabisa maana hata kina baba pia wanafanya.hapa ni jamaa wakionekana wakichoma vitumbua na mwingine nyuma yao akichoma chapati.hii inapendeza sana kuona vijana wanaamua kujishughulisha na shughuli mbali mbali.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad