aliyesema shughuli hizi ni kwa kina mama tu,huyo atakuwa amekosea kabisa maana hata kina baba pia wanafanya.hapa ni jamaa wakionekana wakichoma vitumbua na mwingine nyuma yao akichoma chapati.hii inapendeza sana kuona vijana wanaamua kujishughulisha na shughuli mbali mbali.Wednesday, June 11, 2008
Home
         Unlabelled
      
Nani Kasema Shughuli Hii Ni Ya Kina Mama Pekee??
Nani Kasema Shughuli Hii Ni Ya Kina Mama Pekee??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment