HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, November 17, 2007

Ay Ndani Ya Club Maisha

mwanamuziki wa miondoko ya bongo frava anayekwenda kwa jina la ambwene yesaya a.k.a ay,jana ameuwa ndege watatu kwa jiwe moja yaani amezindua website,pamba za kufa mtu na albam ya "undani wangu".picha kwa hisani ya wanja la mkuu issa michuzi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad