Balozi
wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwasilisha nakala
za hati za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Mhe. Ahmed
Attaf, jijini Algiers, leo tarehe 26 Mei, 2026.
Balozi
wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwa katika
mazungumzo mafupi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Mhe. Ahmed
Attaf, mara baada ya kuwasilisha nakala za hati za utambulisho jijini
Algiers, leo tarehe 26 Mei, 2026. Mazungumzo hayo yalihusu uimarishaji
wa ushirikiano na uhusiano baina ya nchi hizi mbili.
No comments:
Post a Comment