Mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mhe. Rais Museveni amepokelewa na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar, Mhe. Omar Said Shaaban.
Mkutano huo wa Wakuu wa Nchi umetanguliwa na Kikao cha Ngazi ya Juu kuadhimisha miaka 25 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yenye kaulimbiu isemayo "Miaka 25 ya EAC: Tafakari ya tulikotoka na matarajio ya tunapokwenda"


No comments:
Post a Comment