
Prof. Janabi amesema MNH ina idara mbalimbali ambazo wataalam hao watashirikiana na wenzao ili kuboresha huduma za afya na kuongeza ujuzi wa watendaji wake.
Ujio wa meli hiyo unatokana na ushirikiano mzuri uliopo baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya China ambao umedumu kwa kipindi kirefu.
No comments:
Post a Comment