Akitoa maelezo katika jengo la LATRA, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano LATRA, Bw. Salum Pazzy, amesema kuwa LATRA inaongeza ufanisi katika huduma zinazodhibitiwa kwa kutumia mifumo ya TEHAMA, ikiwa ni pamoja na Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Mabasi na Mfumo wa Taarifa kwa Abiria unaomuwezesha abiria kujua basi lilipo, muda wa kuwasili kituoni na kukagua mwendo kasi wa basi alilopanda
Maonesho haya yanafikia kilele leo Julai 13, 2024 na kufungwa rasmi na Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi katika Viwanja vya Julius Nyerere, Dar es Salaam.







No comments:
Post a Comment