Mgeni Rasmi katika hafla ya utoaji tuzo alikua Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) - Mhe. Deogratius Ndejembi aliyeambatana na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Patrobas Katambi.
Maadhimisho haya hujumuisha shughuli mbali mbali zinazolenga kuendelea kuhamasisha uzingatiaji wa masuala ya Usalama na Afya mahali pa kazi hapa nchini. Na benki ya NMB iliweka banda katika viwanja vya ndndndn kuonyesha dhamira na hatua wanazozichukua kuhakikisha wanadhibiti athari za mabadiliko ya tabia nchi katika shughuli zao.

No comments:
Post a Comment