HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 1, 2024

RATIBA YA MSIBA WA HAYATI ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

RATIBA YA KUAGA MWILI WA HAYATI ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

UWANJA WA UHURU - DAR ES SALAAM

IJUMAA TAREHE 01 MACHI, 2024

Muda

Tukio

Mhusika

Saa 06.00 - 06.40 Mchana

Mwili wa Hayati kutoka Nyumbani, Mikocheni na kuwasili Msikiti Mkuu wa Bakwata – (Mfalme Mohamed IV), Kinondoni

Kamati ya mazishi ya Kitaifa

 

Saa 06.40 – 07. 30 Mchana

Swala

Kamati ya mazishi Kitaifa

 

Saa 07.30 – 08. 10 Mchana

 

 

Mwili wa Hayati kuondoka Msikitini, Kinondoni na kuwasili Uwanja wa Uhuru

Kamati ya mazishi Kitaifa

 

Saa 08.10 – 08. 30 Mchana

 

Dua na Sala

Kamati ya mazishi Kitaifa

 

Saa 08.30 – 09. 00 Mchana

 

Viongozi kutoa salamu za rambirambi

·         Mhe. Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

·         Mhe. Jenista Mhagama (Mb), Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - SBU

·         Mhe. Joseph Sinde Warioba, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu

  • Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar
  • Mhe. Dkt. Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Saa 09.00 – 09. 30 Mchana

 

Viongozi kutoa heshima za Mwisho

Kamati ya mazishi Kitaifa

 

Saa 09.30 – 11.00 Jioni

Wananchi kutoa heshima za mwisho

Kamati ya Mazishi Kitaifa

 

Saa 11.00 – 11.30 Jioni

Mwili wa Hayati kuondoka Uwanja wa Uhuru na kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere

Kamati ya mazishi Kitaifa

 

Saa 11.30 – 12.00 Jioni

 

Mwili wa Hayati kuruka na Ndege kwenda Zanzibar

Kamati ya mazishi Kitaifa

 

Saa 12.00 – 12.30 Jioni

 

 

Mwili wa Hayati Kuwasili Zanzibar

Kamati ya mazishi Kitaifa

 

Saa 12.30 – 01.00 Jioni

 

Mwili wa Hayati Dkt. Ali Hassan Mwinyi kuwasili Nyumbani Bweleo

Kamati ya mazishi Kitaifa

 

Saa 01.00 – 04.00 Usiku

 

Maombolezo

Familia

 

 


RATIBA YA MSIBA WA HAYATI ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

UWANJA WA AMANI, ZANZIBAR

JUMAMOSI, TAREHE 02 MACHI, 2024

Muda

Tukio

Mhusika

Saa 01.00 - 02.00 Asubuhi

Mwili wa Hayati kuondoka nyumbani na Kwenda Msikiti wa Qaboss

 

Kamati ya mazishi Kitaifa

Saa 2.00 - 02.30 Asubuhi

Viongozi mbalimbali kuwasili

Kamati ya Mazishi Kitaifa

Saa 2.00 – 02.30 Asubuhi

Swala

 

Kamati ya Mazishi Kitaifa

Saa 02.30 - 03.00 Asubuhi

Mwili wa Hayati kuondoka Msikiti na kuwasili Uwanja wa Amani

Kamati ya Mazishi Kitaifa

Saa 03.00 - 03.20 Asubuhi

 

Dua

Kamati ya Mazishi Kitaifa

Saa 03.20 - 07.00 Mchana

 

 

Wananchi kutoa heshima za Mwisho

Kamati ya Mazishi Kitaifa

Saa 07.00 - 07.20 Mchana

Dua

Kamati ya Mazishi Kitaifa

Saa 07.20 - 07.50 Mchana

Viongozi kutoa salamu za rambirambi

  • Mhe. AmaniAbeid Karume, Rais wa Zanzibar Mstaafu,
  • Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais Mstaafu,
  • Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa ZanzibaR Mstaafu na Makmu wa Rais Mstaafu
  • Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu
  • Mhe. Othman Massoud, Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar

 

Saa 07.50 - 08.00 Mchana

Salamu za familia

Kamati ya Mazishi Kitaifa

 

Saa 08.00 - 08.10 Mchana

Salamu za Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Mazishi na Kumkaribisha Mheshimiwa Rais kutoa salamu za pole

Mhe. Kassim M. Majaliwa (Mb), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Mazishi

 

Saa 08.10 - 08.40 Mchana

Salamu za Viongozi Wakuu wa Nchi

  • Mhe. Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Zanzibar,
  • Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

 

Saa 08.40 - 09.10 Mchana

Viongozi kutoa heshima za Mwisho

Kamati ya Mazishi Kitaifa

Saa 09.10 - 09.30 Mchana

 

Mwili wa Hayati kuondoka Uwanja wa Amani na kuwasili Mangapwani

Kamati ya Mazishi Kitaifa

Saa 09.30 - 09.40 Mchana

·         Wimbo wa Taifa

·         Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

 

JWTZ Brass band

Saa 09.40 – 10.00

Jioni

Mazishi ya Kiserikali

Kamati ya mazishi ya Kitaifa

 

Saa 10.00 – 10.20

Jioni

Mazishi ya Kidini

·      Kamati ya mazishi ya Kitaifa

·      Familia

Saa 10.20 – 10. 30

Jioni

Wasifu wa Hayati Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Bw. Juma Mkomi, Katibu Mkuu – UTUMISHI

Saa 10.30 – 11.00

Jioni

 

Viongozi mbalimbali na wananchi kuondoka eneo la msiba

Kamati ya mazishi Kitaifa

 

Saa 11.00   Jioni

 

 

          

                MWISHO

 

1 comment:

Post Bottom Ad