HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 6, 2023

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA NI MAOKOTO TU

 KUNAKO ligi kuu ya Uingereza leo kutapigwa mtanange mkali sana kati ya klabu ya Manchester dhidi ya Chelsea ambapo mchezo huu utatoa fursa kwa wateja wa Meridianbet kujishidia mkwanja wa kutosha.


Wakati kipute hichi kikali kinapigwa uwanjani baina ya wababe hawa wawili nje ya uwanja mabingwa michezo ya kubashiri Meridianbet nao wamehakikisha wanaweka ODDS KUBWA katika mchezo huu ili kuweka kutoa fursa kwa wadau kupiga mapene.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Manchester United watakua wanahitaji kuendeleza rekodi yao ya kupoteza mchezo wowote wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya Chelsea tangu mwaka 2013 mwezi Mei, Huku Chelsea nao wakipambana kuhakikisha wanafuta uteja huo hivo kwa hali hii ni wazi unaenda kushuhudiwa mchezo wenye ushindani mkubwa.

Klabu ya Manchester United haina mwenendo mzuri katika ligi kuu ya Uingereza msimu huu ikiwa hivohivo kwa upande wa Chelsea, Lakini muenendo mbaya wa vilabu hivi haujawahi kufanya mchezo huu ukose mvuto hivo mchezo wa leo unatarajiwa kua na ushindani kama kawaida.

Michezo mingine ya ligi kuu ya Uingereza pia itapigwa leo katika viwanja mbalimbali na imepewa ODDS KUBWA na za kibabe ambayo inaweza kumpa mteja wa Meridianbet kujipigia mkwanja wa kutosha na michezo hiyo ni kama ifuatayo Brighton wataikaribisha Brentford katika dimba lao la Amex, Sheffield United watakua nyumbani kuikaribisha Liverpool, Aston Villa watakua nyumbani pale Villa Park kumenyana na klabu ya Manchester City.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee

ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad