Vivutio vya Utalii vya Tanzania vina miundombinu rafiki inayowawezesha watu wenye mahitaji maalum kuvimbelea na kufurahia uzuri wa vivutio vya Utalii vya asili vya Tanzania.
Wakiwa hapa nchini wameweza kufanya kongamano pamoja na kuendesha Mashindano ya Ulimbwende na Utanashati Miss & Mister Deaf International 2023 ambayo yamefanyika tarehe 25/11/2023 jijini Dar es Salaam.


No comments:
Post a Comment