HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 28, 2023

MATUKIO KATIKA PICHA MANAIBU MAWAZIRI WATETA NA WANAWAKE PEMBA

 

 

Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga wamekutana na kufanya mazungumzo na wanawake Pemba katika ukumbi wa mikutano wa Makonyo Wami Pemba tarehe 27 Septemba, 2023.





 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad