HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 28, 2023

Ligi ya Kikapu Dar es Salaam yamalizika

Mashindano ya Ligi ya mpira wa kikapu mkoa wa Dar es Salaam yamemalizika usiku huu kwa mchezo uliozikitanisha timu za Dar City na JKT ambapo timu ya Dar City wameibuka kinara kwa ushindi mnono wa point 68 kwa 60 katika mchezo uliopigwa kwenye kiwanja cha Don Bosco, jijini Dar es salaam. Kwa upande wa wanawake mabingwa ni Vijana Queens




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad