Mashindano ya Ligi ya mpira wa kikapu mkoa wa Dar es Salaam yamemalizika usiku huu kwa mchezo uliozikitanisha timu za Dar City na JKT ambapo timu ya Dar City wameibuka kinara kwa ushindi mnono wa point 68 kwa 60 katika mchezo uliopigwa kwenye kiwanja cha Don Bosco, jijini Dar es salaam. Kwa upande wa wanawake mabingwa ni Vijana Queens
Thursday, September 28, 2023
![](https://1.bp.blogspot.com/-7Kd9qaiRHuA/WaEtZyc70TI/AAAAAAAADsA/7WUYBVoY-UwwjdEP3kDFPvH9htN0dDKgQCLcBGAs/s1600/demo-image.jpg)
Home
Unlabelled
Ligi ya Kikapu Dar es Salaam yamalizika
Ligi ya Kikapu Dar es Salaam yamalizika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment