Baadhi ya Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Serikali na wadau wa Sekta ya Bahari wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Hassan Masala akisisitiza (hawapo pichani) wakati alipofunga maadhimisho ya mabaharia yaliyofanyika kitaifa Mkoani Mwanza kuanzia 22-25 Juni 2023.
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi-Uchukuzi, Bi. Stela Katondo akisisitiza jambo kwa wadau na wananchi wa mkoa wa Mwanza (hawapo pichani) wakati wa kufunga maadhimisho ya mabaharia yaliyofanyika kitaifa Mkoani Mwanza kuanzia 22-25 Juni 2023.
Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Hassan Masala akisisitiza jambo kwa wadau na wananchi wa mkoa wa Mwanza (hawapo pichani) wakati alipofunga maadhimisho ya mabaharia yaliyofanyika kitaifa Mkoani Mwanza kuanzia 22-25 Juni 2023.
No comments:
Post a Comment