RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amefungua Bohari ya Mafuta Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja, Machi 4, 2023 na kusema kuanzia sasa eneo hilo ndio kituo kikuu cha Biashara ya mafuta Visiwani Zanzibar.
Taarifa kamili iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu na kusainiwa na Mkurugenzi wake Bw. Charles Hilary imefafanua zaidi hapo chini.
No comments:
Post a Comment