HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 30, 2023

MTIBWA SUGER, SIEMENS WAFANIKISHA KUANZISHWA DARASA LA TEHAMA SHULE YA MSINGI KIWANDANI, MVOMERO

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe (watatu kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mtibwa  Suger, Seif Ali Seif (watatu kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Siemens kwa Ukanda wa Afrika, Sabine Dall'omo (wapili kulia) kwa pamoja wamikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa darara la tehama katika Shule ya Msingi Kiwandani,  lililokarabariwa  na Mtibwa Suger kwa kushirikiana na Siemens, katika hafla ya ufunguzi huo, uliofanyika shuleni hapo  jana. Kampuni ya Mtibwa Suger na Siemens zimekamilisha ukarabati wa  darasa hilo lililowekewa vifaa  vya kujifunzia maswala ya tehama ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono sera ya serikali ya awamu  ya sita katika kuboresha elimu nchini ili kuandaa vijana wa baadae watakaoendana na  soko la ajira la Dunia ya kidigitali. Wengine pichani ni kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Madizini, Goodluck Mugeta, Afisa Elimu Wilaya ya Mvomero, Bruno Sangwa pamoja na Mkuu wa Shule hiyo, Mwalimu Philemon Sokime.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe (wapili kulia)  pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Siemens kwa Ukanda wa Afrika, Sabine Dall'omo wifanya  tendo la ufunguzi wa darara la tehama katika Shule ya Msingi Kiwandani, Wilayani Mvomero, Morogoro lililokarabariwa  na Mtibwa Suger kwa kushirikiana na Siemens, katika hafla ya ufunguzi huo, uliofanyika shuleni hapo  jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mtibwa  Suger, Seif Ali Seif na kulia ni Afisa Elimu Wilaya ya Mvomero, Bruno Sangwa
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Siemens kwa Ukanda wa Afrika, Sabine Dall'omo muda mfupi baada ya ufunguzi wa darasa hilo.
Muonekano wa Darasa hilo.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mtibwa  Suger, Seif Ali Seif.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa darara la tehama katika Shule ya Msingi Kiwandani, Wilayani Mvomero, Morogoro lililokarabariwa  na Mtibwa Suger kwa kushirikiana na Siemens, katika hafla ya ufunguzi huo, uliofanyika shuleni hapo  jana.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mtibwa  Suger, Seif Ali Seif akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa darara la tehama katika Shule ya Msingi Kiwandani, Wilayani Mvomero, Morogoro lililokarabariwa  na Mtibwa Suger kwa kushirikiana na Siemens, katika hafla ya ufunguzi huo, uliofanyika shuleni hapo  jana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad