HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 31, 2023

MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO AKIMSINDIKIZA MAKAMU WA RAIS WA MAREKEANI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akiwa na Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris wakati akiwaaga wananchi mbalimbali waliojitokeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam kumuaga baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku mbili nchini, leo tarehe 31 Machi 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akiwa na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wakimuaga Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris na Mumewe Douglas Emhoff katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo tarehe 31 Machi 2023 mara baada ya kuhitimisha ziara nchini Tanzania. (Picha Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad