HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 15, 2022

BENKI YA CRDB YAENDESHA SEMINA KWA WATEJA WAKE WA MKOA WA TANGA

 
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba akizungumza wakati akitoa hotuba yake katika ufunguzi rasmi wa Semina ya siku moja kwa Wateja wa Benki ya CRDB wa mkoa wa Tanga, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga, Novemba 14, 2022.  
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Semina ya siku moja kwa Wateja wa Benki ya CRDB wa mkoa wa Tanga, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga, Novemba 14, 2022. 
Afisa Mkuu wa Biasra wa Benki ya CRDB, Boma Raballa akizungumza wakati akitoa mada ya biashara  na uwekezaji katika Semina ya siku moja kwa Wateja wa Benki ya CRDB wa mkoa wa Tanga, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga, Novemba 14, 2022. 
 Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Kaskazini, Chiku Issa akizungumza katika Semina ya siku moja kwa Wateja wa Benki ya CRDB wa mkoa wa Tanga, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga, Novemba 14, 2022. 
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akizungumza katika Semina ya siku moja kwa Wateja wa Benki ya CRDB wa mkoa wa Tanga, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga, Novemba 14, 2022.
 
Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Hashim Mgandilwa akizungumza katika Semina ya siku moja kwa Wateja wa Benki ya CRDB wa mkoa wa Tanga, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga, Novemba 14, 2022.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba (kulia) asalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, wakati alipowasili kwa lengo la ufunguzi rasmi wa Semina kwa Wateja wa Benki ya CRDB wa mkoa wa Tanga, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga, Novemba 14, 2022. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa na wa pili kulia ni Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Tanga, January Kirambata.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba (katikati) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakiwasalimia baadhi ya viongozi waandamizi wa Benki ya CRDB, wakati alipowasili kwa lengo la ufunguzi rasmi wa Semina kwa Wateja wa Benki ya CRDB wa mkoa wa Tanga, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga, Novemba 14, 2022.









Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba akizungumza jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, muda mfupi baada ya ufunguzi rasmi wa Semina kwa Wateja wa Benki ya CRDB wa mkoa wa Tanga, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga, Novemba 14, 2022.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad