HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 18, 2022

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA BUHIGWE

 







Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Buhigwe katika ziara yake ya kikazi Mkoani Kigoma tarehe 17 Oktoba, 2022.
Wananchi wa Buhigwe wakisikiliza kwa makini Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati alipokuwa akiwahutubia Mkoani Kigoma tarehe 17 Oktoba, 2022.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad