HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 8, 2022

Rais Samia Suluhu Hassan aweka jiwe la Msingi Ujenzi wa VETA Mbarali Mkoani Mbeya

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Ubaruku, Mbarali mara baada ya kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya tarehe 08 Agosti, 2022.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Wilayani Mbarali katika hafla fupi iliyofanyika Ubaruku, Rujewa Mkoani Mbeya tarehe 08 Agosti, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Halali Wilaya ya Wanging’ombe alipowasili Mkoani Njombe kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi Mkoani humo tarehe 08 Agosti, 2022.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad