.Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa ( katikati) akizingumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kusheherekea miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo jijini Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Uendeshaji, Nelson Swai, Mkurugenzi wa Mikopo, Isidori Msaki, Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa na Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Ester Bgoya.
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Biashara ya DCB, Rahma Ngassa (wa pili kulia) akizungumza katika mkutano ambao Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Godfrey Ndalahwa (wa tatu kushoto) alipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia uzinduzi wa kampeni ya kusheherekea miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni; Mkurugenzi wa Uendeshaji, Nelson Swai, Mkurugenzi wa Mikopo, Isidori Msaki na Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Ester Bgoya.
Baadhi ya waandishi wa habari wakihudhuria hafla ya uzinduzi wa kampeni ya kusheherekea miaka 20 ya mafanikio ya Benki ya DCB jijini Dar es Salaam leo
No comments:
Post a Comment