HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 23, 2022

MAJALIWA AKAGUA KAZI YA UWEKAJI ALAMA LOLIONDO

  

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Kamishina Jeneralli wa  Jeshi la Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala  (kushoto) wakati alipokagua kazi ya uwekaji  alama za kubainisha  la hifadhi  penye ukubwa wa kilomita za mraba 1500 katika eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro, Mkoa wa Arusha  Juni 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Wazifri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya uwekaji  alama za kubainisha  eneo la hifadhi  lenye ukubwa wa kilomita za mraba 1500 katika eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro, Mkoa wa Arusha  Juni 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Wazifri Mkuu)


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad