HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 25, 2022

RAIS SAMIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA GHANA NANA AKUFO-ADDO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Ghana Mhe. Nana Akufo-Addo katika Ikulu ya Accra (Jubilee House) nchini Ghana tarehe 24 Mei, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Jamhuri ya Ghana Mhe. Nana Akufo-Addo kabla ya mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ikulu ya Accra (Jubilee House) nchini Ghana tarehe 24 Mei, 2022.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad