Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la jengo la Ufundi Tower
katika Chuo cha Ufundi Arusha, Mei 24, 2022. Wa tatu kushoto ni Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Innocent Bashungwa, wa tatu kulia ni
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa
Carolyne Nombo na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella.
Kushoto ni Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo na wa pili kushoto ni
Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Arusha, Zelot Stephene. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Saidi Issa
ambaye ni Meneja wa Ktengo cha Uzalishaji, Chuo cha Ufundi Arusha kuhusu
ujenzi wa Jengo la Ufundi Tower wakati Waziri Mkuu alipoweka jiwe la
msingi la jengo hilo jijini Arusha, Mei 24, 2022.
Waziri
Mku Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipoweka jiwe la msingi la
jengo la Ufundi Tower katika Chuo cha Ufundi Arusha, Mei 24, 2022.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea zawadi ya picha yake iliyochorwa na
Mwanachuo wa Chuo cha Ufundi Arusha, Michael Felix (kulia) wakati
alipoweka jiwe la msing la ujenzi wa jengo la Ufundi Tower katika Chuo
cha Ufundi Arusha, Mei 24,2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi
ya washiriki wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa jengo
la Ufundi Tower katika Chuo cha Ufundi Arusha wakipiga makaofi
kumkaribisha mgeni rasmi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowasili
kwenye viwanja vya Chuo hicho jijini Arusha, Mei 24, 2022.
Baadhi
ya washiriki wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la
Ufundi Tower katika Chuo cha Ufundi Arusha wakimsikiliza mgeni rasmi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza kwenye viwanja vya
Chuo hicho jijini Arusha, Mei 24, 2022. (Picha na Ofisi ya Naziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment