Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maeneo wanayofanyia baiashara Wamachinga katika soko la Mbauda jijini Arusha, Mei 24, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea soko la Wamachinga la Mbauda jijini Arusha, Mei 24, 2022. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella na wa tatu kushoto Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment