Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
akiweka Shada la Maua katika Kaburi la aliyekuwa Rais wa Kwanza wa
Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo tarehe 07 Aprili 2022
Afisi Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Kisiwandui Zanzibar ikiwa ni
kumbukizi ya Miaka 50.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa
na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Makamu wa Rais Dkt. Philip
Mpango, Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume, Mkuu wa
Majeshi Jenerali Venance Mabeyo, wakiomba Dua mbele ya Kaburi la Rais
wa kwanza wa Zanzibar Hayati Abeid Amani Karume leo tarehe 07 Aprili
2022 Afisi Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Kisiwandui Zanzibar ikiwa ni
kumbukizi ya Miaka 50 tangu kifo chake.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume, na
Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango baada ya kukamilika kwa Dua ya
kumbukizi ya kutimia miaka 50 tangu kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar
Hayati Abeid Amani Karume iliyofanyika leo tarehe 07 Aprili 2022 Afisi
Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Kisiwandui Zanzibar
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
akiagana na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa baada ya kukamilika kwa Dua
ya kumbukizi ya kutimia miaka 50 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar
Hayati Abeid Amani Karume iliyofanyika leo tarehe 07 Aprili 2022 Afisi
Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Kisiwandui Zanzibar
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan,
akiwa katika Dua ya pamoja na Mama Mariam Mwinyi, Mama Mbonimpaye Mpango
na aliyekuwa Mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mama Fatma Karume katika
Kumbukizi ya miaka 50 ya aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati
Sheikh Abeid Amani Karume leo tarehe 07 Aprili 2022 Afisi Kuu ya Chama
cha Mapinduzi CCM Kisiwandui Zanzibar.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa
na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi wakielekea katika Kaburi la
aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume
leo tarehe 07 Aprili 2022 Afisi Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM
Kisiwandui Zanzibar ikiwa ni kumbukizi ya Miaka 50 tangu kifo chake
No comments:
Post a Comment