Balozi wa Jamhuri ya Malawi hapa nchini Mhe. Andrew Posyantos Efron Zumbe akiwasilisha Hati yake ya Utambulisho katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino, Jijini Dodoma leo tarehe 29 Machi, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Malawi hapa nchini Mhe. Andrew Posyantos Efron Zumbe mara baada ya kupokea Hati yake ya Utambulisho katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino, Jijini Dodoma leo tarehe 29 Machi, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Malawi hapa nchini
Mhe. Andrew Posyantos Efron Zumbe mara baada ya mazungumzo yao Ikulu
Jijini Dodoma leo tarehe 29 Machi, 2022.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
akishiriki Mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki (EAC) uliofanyika kwa njia ya Mtandao, Ikulu Chamwino Jijini
Dodoma leo tarehe 29 Machi, 2022.
No comments:
Post a Comment