Mkuu wa Kitengo cha Wateja, Biashara na taasisi ya Afrika Mashariki wa Benki ya Standard Chartered, Bw. Birju Sanghrajka alitembelea Tanzania wiki iliyopita. Katika ziara yake hiyo, alikuwa na mazungumzo na wadau mbalimbali. Mojawapo ya mazungumzo hayo ni pamoja na tukio la mteja ambalo lilifanyika wiki iliyopita na baadhi ya Wateja wetu wa Biashara.
Wednesday, March 9, 2022

Home
BIASHARA
FEDHA NA UCHUMI
HABARI MCHANGANYIKO
Mkuu wa Kitengo cha Wateja, Biashara na Taasisi ya Afrika Mashariki wa Benki ya Standard Chartered, Bw. Birju Sanghrajka atembelea Tanzania
Mkuu wa Kitengo cha Wateja, Biashara na Taasisi ya Afrika Mashariki wa Benki ya Standard Chartered, Bw. Birju Sanghrajka atembelea Tanzania
Tags
# BIASHARA
# FEDHA NA UCHUMI
# HABARI MCHANGANYIKO
HABARI MCHANGANYIKO
Labels:
BIASHARA,
FEDHA NA UCHUMI,
HABARI MCHANGANYIKO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment