*EPL na LaLiga Kuendelea Wikiendi Hii, Odds Bora Zipo Huku!
Mwaka 2022 unaanza kwa michezo ya
kukata na shoka kunako mchezo wa soka. EPL
katika ubora wake wikiendi hii. Anza mwaka mpya kwa kutandaza jamvi lako na Meridianbet, mkeka wako wa faida ni
huu;
Emirate Stadium itafungua
burudani ya mwaka mpya kwa mchezo wa Arsenal vs Man City. Mchezo wa mwisho timu hizi kukutana
kwenye EPL, The Gunners walipigwa 5-0 pale Etihad Stadium. Safari hii wapo
nyumbani wakiwa wanamkosa Mikel Arteta
kwenye bechi la ufundi kutokana na kupata maambukizi ya COVID-19. Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.52 kwa City.
Patrick Viera
ataiongoza Crystal Palace kwenye mchezo dhidi ya West Ham
United. Timu zote mbili zimekuwa kwenye kiwango thabiti msimu huu zikiwa
na matokeo chanya kwenye michezo yao mpaka sasa. Mdhamini shujaa wako kwa kuchagua Odds ya 2.30
ndani ya Meridianbet.
Stamford Bridge
kuunguruma pale ambapo Chelsea watachuana na Liverpool, mbio za
ubingwa zinashika kasi kuanzia mwezi Januari. Ni Thomas Tuchel au Jurgen Klopp atakayesahihisha makosa yake? Timu
zote mbili zilipoteza pointi kwenye michezo yao ya mwisho kabla ya kukutana
Jumapili hii. Ni Mo Salah vs Romelu
Lukaku kwenye safu ya mashambulizi. Ifuate Odds ya 2.35 kwa Liverpool kupitia
Meridianbet.
Kwenye LaLiga, Real Betis wataalika Celta Vigo katika
mtanange wa kukata na shoka. Naam! Betis ni miongoni mwa timu zinazofanya
vizuri kwenye LaLiga msimu huu. Wataendelea kutoa upinzani wanaoutoa sasa hivi
kuelekea mwishoni mwa msimu au, Celta Vigo wataanza kutia doa safari ya Betis? Odds ya 1.76 imewekwa kwa Betis.
Jumatatu ya kwanza ya mwaka 2022
itapendezeshwa kwa mchezo wa Manchester United vs Wolverhampton Wanders. United
watakua Old Trafford kuendea walipoishia mwaka 2021. Burnley aliambulia
kipigo, Wolves nae atatokaje Theatre of Dreams? Safari ya kuelekea kwenye
nafasi ya kucheza mashindano ya Ulaya msimu ujao kwa United ndio inaanza,
watafanikiwa? Ifuate Odds ya 1.57 kwa United kupitia
Meridianbet.
Meridianbet
– Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!
No comments:
Post a Comment