Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya
Kusimamia, Kudhibiti na Kuratibu Mapato na Matumizi ya Wizara, George
Simbachawene, akizungumza katika kikao cha kupitia taarifa ya Kamati
hiyo kwa Robo ya Kwanza ya Mwaka wa Fedha 2021/2022, kilichofanyika
jijini Dodoma, leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher
Kadio.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya
Kusimamia, Kudhibiti na Kuratibu Mapato na Matumizi ya Wizara, George
Simbachawene (katikati), akizungumza katika kikao cha kupitia taarifa ya
Kamati hiyo kwa Robo ya Kwanza ya Mwaka wa Fedha 2021/2022,
kilichofanyika jijini Dodoma, leo. Kulia ni Naibu Waziri, Khamis Hamza
Chilo, wapili kushoto ni Katibu Mkuu, Christopher Kadio, kushoto ni
Naibu Katibu Mkuu, Ramadhani Kailima na wapili kulia ni Katibu wa
Kamati, Jenitha Ndone.
Wajumbe
wa Kamati ya Kusimamia, Kudhibiti na Kuratibu Mapato na Matumizi ya
Wizara wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Waziri wa Mambo ya Ndani
ya Nchi, George Simbachawene (hayupo pichani), wakati alipokuwa
akizungumza katika kikao cha kupitia taarifa ya Kamati hiyo kwa Robo ya
Kwanza ya Mwaka wa Fedha 2021/2022, kilichofanyika jijini Dodoma, leo.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya
Kusimamia, Kudhibiti na Kuratibu Mapato na Matumizi ya Wizara, George
Simbachawene (kushoto), akisalimiana na Kamishna wa Utawala na Fedha wa
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mbaraka Semwanza, wakati alipokuwa
anawasili katika kikao cha kupitia taarifa ya Kamati hiyo kwa Robo ya
Kwanza ya Mwaka wa Fedha 2021/2022, kilichofanyika jijini Dodoma, leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
No comments:
Post a Comment