Mkuu wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd, Christopher
Loiruk akizungumza na wafanyakazi wa Bonite Bottlers Ltd, mkoani
Kilimanjaro kuhusu uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu
Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa
kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za
kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka
kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.
Tuesday, November 23, 2021

Home
HABARI
UZINDUZI WA KAMPENI YA 'MAAJABU HALISI' NA COCA-COLA WAWAFIKIA WAFANYAKAZI WA BONITE BOTTLERS LTD, MOSHI MKOANI KILIMANJARO.
UZINDUZI WA KAMPENI YA 'MAAJABU HALISI' NA COCA-COLA WAWAFIKIA WAFANYAKAZI WA BONITE BOTTLERS LTD, MOSHI MKOANI KILIMANJARO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment