Baada ya Mechi Tamisemi wakiwa na nyuso za furaha
Furaha Ya Tamisemi baada ya ushindi
Mashindano
ya SHIMIWI 2021 chini ya UDHAMINI wa AGRICOM AFRICA LTD yameendelea
leo,ambapo kwenye Mpira wa miguu timu ya Katiba na Sheria pamoja na
Tamisemi zimefanikiwa kuingia fainali.
Sambamba
na mashindano haya Agricom Africa Ltd wameendeleza OFA yao ya zana
mbalimbali za kilimo pamoja na vipuri halisi Kwa wateja na watu
mbalimbali wanaotembelea viwanjani na kwenye mabanda yao kuulizia zana
hizi bora na Vipuri pamoja nakuzishuhudia zile ambazo zipo huko
viwanjani.
No comments:
Post a Comment