Mkurugenzi
Mkazi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) Bi Kate
Somvongsiri akisoma hotuba yake kwenye Maonesho ya zana za Kidigitali ya
siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, uliofanyika kwenye Kituo cha
Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi
Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Wakili Bi.
Anna Henga, akitoa mada kwenye Maonesho ya zana za Kidigitali ya siku 16
ya kupinga ukatili wa kijinsia, uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano
cha Kimataifa cha Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam.ambapo
ameahidi kuendelea kutoa elimu kwa jamii Jambo ambalo litapelekea kuwepo
kwa matokeo chanya.Mkuu
wa Kitengo Cha Sheria - Sheria Kiganjani,Neema Magimba akitoa maelezo
kwa mgeni rasmi namna mfumo wa Sheria Kiganjani unavyofanya kazi kwenye
Maonesho ya zana za Kidigitali ya siku 16 za kupinga ukatili wa
kijinsia, uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius
Nyerere leo jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi
Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Wakili Bi.
Anna Henga (kulia) akikabidhi zawadi kwa Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la
Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) Bi Kate Somvongsiri kwenye
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere leo jijini Dar es
Salaam.Mkurugenzi
Mkazi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) Bi Kate
Somvongsiri akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa Maonesho ya
zana za Kidigitali ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia,
uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere
leo jijini Dar es Salaam.Wafanyakazi wa Kitengo cha Sheria Kiganjani wakiwa kwenye picha ya pamoja.
No comments:
Post a Comment