Mwenyekiti
WA SHIMIWI akimkabidhi Mtendaji Mkuu wa AGRICOM AFRICA LTD kombe
maalumu la mdhamini mkuu wa Mashindano ya SHIMIWI 2021 yaliyomalizika
Jana mjini Morogoro
Waziri
wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Innocent Bashungwa akikabidhi
Kadi ya umiliki wa Trekta mkulima aliyenunua Trekta Kwa ofa maalumu ya
kipindi cha michezo ya SHIMIWI yaliyomalizika Jana mjini Morogoro Chini
ya udhamini wa Agricom Africa ltd
Waziri
wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Innocent Bashungwa akizungumza
jambo na Viongozi waandamizi wa Kampuni ya Agricom Africa ltd
Waziri
Bashungwa,Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh. Martin Shigela pamoja na Mkuu wa
wilaya ya Morogoro Mhe. Albert Msando, wakihakiki na kumkabidhi trekta
mteja wa Agricom Africa ltd ambaye ndiye mdhamini mkuu wa SHIMIWI
Waziri
Bashungwa akiwasha trekta alilonunua mkulima wa Dakawa kutokea Agricom
Africa ltd wakati wa mashindano ya SHIMIW,ambapo Agricom Africa ltd
ndiye mdhamini mkuu wa Mashindano ya SHIMIWI kwa mwaka 2021.
Mwenyekiti
WA SHIMIWI akimvisha Mtendaji Mkuu wa AGRICOM AFRICA LTD medali maalumu
ya mdhamini mkuu wa Mashindano ya SHIMIWI 2021 yaliyomalizika Jana
mjini Morogoro.
Baadhi
yawafanyakazi wa Agricom Africa wakiwa na baadhi ya Wateja waliofika
kununua Zana za kilimo kwenye mashindano ya wizara zote za serikali
SHIMIWI.yalifanyika mjini Morogoro.
No comments:
Post a Comment