RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ai
Mwinyi akimsikiliza Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania Mhe. Hamisu Umar
Takamawa, alipofi Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika
ukumbi wa Ikulu
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania Mhe
Hamisu Umar Takamawa, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo
yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiongazana na mgeni wake Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania Mhe.
Hamisu Umar Takamawa, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Balozi wa Nigeria
Nchini Tanzania Mhe.Hamisu Umar Takamawa, baada ya kumaliza mazungumzo
yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.5-10-2021.(Picha na
Ikulu)
No comments:
Post a Comment