Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson katika picha ya pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Eliezer Feleshi alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Oktoba 28, 2021
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akimsikiliza Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Eliezer Feleshi alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Oktoba 28, 2021.(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
No comments:
Post a Comment