HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 17, 2021

WAZIRI WA MAJI AWESO AZINDUA BODI MPYA YA WAKURUGENZI WA DAWASA


 Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja akitolea ufafanuzi kwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla,Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA), Jenerali Mstaafu Davis Mwamunyange pamoja na viongozi mbalimbali kuhusu uendeshaji wa Kituo cha TEHAMA cha kukusanya  Taarifa za Mamlaka hiyo wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Bodi mpya ya DAWASA

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso(kulia) pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma wakizindua Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) leo jijini Dar Es Salaam.
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso(kulia) akikabidhi vitendea kazi Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA), Jenerali Mstaafu Davis Mwamunyange mara baada ya kuzindua Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA uliofanyika leo jijini Dar es Salaam
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso(kulia) akikabidhi vitendea kazi Katibu na Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja mara baada ya kuzindua Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA uliofanyika leo jijini Dar es Salaam
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso(kulia) akikabidhi vitendea kazi kwa baadhi ya wajumbe wa Bodi ya DAWASA mara baada ya kuzindua Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA uliofanyika leo jijini Dar es Salaam

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akizungumza na Wajumbe wa Bodi wapya na wafanyakazi wa DAWASA pamoja na wageni waalikwa waliofika kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi ya DAWASA pamoja na kuwapatia vitendea kazi kwa kila mmoja wa wajumbe wa bodi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu wa  Wizara  ya Maji Mhandisi Anthony Sanga akizungumzia namna Serikali ilivyojipanga kusimamia mamlaka za Maji kuweza kutekeleza Miradi mikubwa pamoja na midogo ya maji wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja akitoa ufafanuzi kuhusu Bodi iliyomaliza muda wake ilivyofanya kazi kwa miaka mitatu chini ya Wenyekiti wake Jenerali Mstaafu Davis Mwamunyange wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma akizungumza namana walivyojipanga kuweza kuzisimamia Mamlaka za Maji hapa nchini ikiwemo Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ili kuweza kufanikisha upatikanaji wa Maji kwa wananchi wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam na Mjumbe Mpya wa Bodi ya DAWASA,  Kate Kamba akizungumza kuhusu namna Ilani ya Chama cha CCM inavyotaka wananchi wapatiwe maji safi na salama pamoja na kumshukuru Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kwa kumteua kuwa mjumbe wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) leo jijini Dar es Salaam
Baadhi ya Wajumbe wa Bodi, wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)na wagei waalikwa wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja akimtambulisha Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya DAWASA, Jenerali Mstaafu Davis Mwamunyange anayeendelea tena kwa miaka mitatu mingine leo wakati wa kuzindua Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA leo jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla akizungumza na waandishi wa habari kuhusu namna alivyofurahishwa na utendaji wa DAWASA mara baada ya kutembelea na kupata maelezo ya Kituo cha TEHAMA cha kukusanya  Taarifa za Mamlaka. Wa kwanza kulia ni Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na wa pili kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA), Jenerali Mstaafu Davis Mwamunyange akizungumza jambo mara baada ya Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA kuzinduliwa na Waziri wa Maji Jumaa Aweso itakayodumu kwa miaka mitatu.
Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga  , Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA  Jeneral Mstaafu Davis Mwamunyange, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja wakiwa  kwenye picha ya pamoja na Baadhi ya wajumbe wa Bodi hiyo mara baada ya kuzinduliwa na Waziri wa Maji.
Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga  , Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA  Jeneral Mstaafu Davis Mwamunyange, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja wakiwa  kwenye picha ya pamoja na wakuu wa wilaya ya Kisarawe na Bagamoyo mara baada ya kuzinduliwa na Waziri wa Maji.
Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga  , Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA  Jeneral Mstaafu Davis Mwamunyange, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja wakiwa  kwenye picha ya pamoja na Wakurugenzi wa DAWASA baada ya kuzinduliwa na Waziri wa Maji.
Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga  , Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA  Jeneral Mstaafu Davis Mwamunyange, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja wakiwa  kwenye picha ya pamoja na Wakurugenzi wa Mamlaka za maji za mikoa mingine mara baada ya kuzinduliwa na Waziri wa Maji.
Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga  , Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA  Jeneral Mstaafu Davis Mwamunyange, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja wakiwa  kwenye picha ya pamoja na Wakurugenzi wa Mamlaka nyingine pamoja na mashirika mara baada ya kuzinduliwa na Waziri wa Maji.
Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga  , Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA  Jeneral Mstaafu Davis Mwamunyange, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian Luhemeja wakiwa  kwenye picha ya pamoja na Meneja wa mikoa ya DAWASA mara baada ya kuzinduliwa na Waziri wa Maji.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad