HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 30, 2021

Vodacom Tanzania Plc yatoa zawadi kwa mshindi wa promosheni ya Tusua Mapene kwa mwezi wa Nane

 

 

Msimamizi wa Maduka ya Vodacom kanda ya Ziwa Maryglory Mtika(kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 Vincent Gratus ambaye ni mshindi wa promosheni ya Tusua Mapene kwa mwezi wa Nane, mkazi wa Kabuholo jijini Mwanza Vincent Haule, kwenye hafla iliyofanyika jijini humo jana.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad